Designer Hebron Malele More information *Phone number 0659-994437*: hebronjohana@yahoo.com!!  NICE FOR ALL :

Tuesday, 23 June 2015

BREAKING NEWS:MBUNGE AFARIKI DUNIA.



Mbunge wa jimbo la Geita Donald Max amefariki dunia leo jioni ya Juni 23, 2015 katika hospitali ya Taifa Muhimbili.
Katibu wa bunge Dr Thomas Kashilila amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kwamba taarifa zaidi zitatolewa kesho Juni 24, 2015

No comments:

Post a Comment