Designer Hebron Malele More information *Phone number 0659-994437*: hebronjohana@yahoo.com!!  NICE FOR ALL :

Sunday, 21 June 2015

HABARI:Mamlaka ya chakula na dawa yachoma tani mbili za vyakula.




Mamlaka ya chakula na dawa kanda ya kati imeteketeza tani mbili za vyakula vilivyoisha muda wa matumizi na vipodozi vyenye viambata vya sumu vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni kumi na mbili, ambavyo vimekutwa katika maduka ya dawa na vipodozi katika manispaa ya Singida.

No comments:

Post a Comment