Designer Hebron Malele More information *Phone number 0659-994437*: hebronjohana@yahoo.com!!  NICE FOR ALL :

Monday, 22 June 2015

YALIYOJILI:Mgogoro kati ya wanafunzi wa kozi ya famasia na chuo kikuu cha Kampala umeingia sura.




Mgogoro kati ya wanafunzi wa kozi ya famasia na chuo kikuu cha Kampala umeingia sura mpya baada ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma kozi hiyo kueleza kusudio lao la kwenda kuonana na rais Kikwete ili kujua hatma ya watoto wao huku idadi kubwa ya wanafunzi wakiwa hawaripoti chuoni licha ya matamko mbalimbali yaliyotolewa na serikali.

No comments:

Post a Comment