Designer Hebron Malele More information *Phone number 0659-994437*: hebronjohana@yahoo.com!!  NICE FOR ALL :

Thursday, 18 June 2015

YALIYOJILI:Mchezaji wa Juve Arturo Vidal ameachiliwa na polisi baada ya kukamatwa kwa kosa la kusababisha ajali.




Kiungo wa Chile Arturo Vidal ameachiliwa na polisi baada ya kukamatwa kwa kosa la kusababisha ajali kwa madai wa ulevi. Vidal, 28, ambaye ndio anayeongoza kwa kufunga magoli katika michuano ya Copa America 2015 nchini mwake, Chile, alipata ajali na Ferrari yake usiku wa Jumanne. Leseni ya kuendesha gari ya Vidal aliyepata majeraha madogo, imesitishwa, lakini ataendelea kichezea Chile. "Nimewaangusha watu wote," amesema Vidal akibubujikwa na machozi baada ya kuachiliwa.

No comments:

Post a Comment