Designer Hebron Malele More information *Phone number 0659-994437*: hebronjohana@yahoo.com!!  NICE FOR ALL :

Thursday, 11 June 2015

YALIYOJILI:Mshambuliaji nyota wa Barcelona na Argentina Lionel Messi anakaribia kuburuzwa mahakamani.




Mshambuliaji nyota wa Barcelona na Argentina Lionel Messi anakaribia kuburuzwa mahakamani kujibu mashtaka ya kukwepa kulipa kodi, baada ya mahakama ya juu ya Spain kutupilia mbali rufaa yake. Messi na baba yake, Jorge, wanatuhumiwa kutolipa kodi ya zaidi ya dola milioni 5 kwa mamlaka za Hispania. Mahakama kuu ilisema Messi asipewe kinga kwa kisingizio cha kutofahamu yaliyokuwa yakiendelea kuhusiana na masuala ya fedha zake. Wawili hao, ambao wanakana mashtaka, wanatuhumiwa kufanya tukio hilo kati ya mwka 2007 na 2009.

No comments:

Post a Comment